News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Ni kama mchezo unaondelea au vita, leo lulzSec wametangaza kuishambulia tovuti ya CIA, ya marekani. LulzSec wamesema hivyo kwenye account ya twitter. Kama kawaida kila kitu wanachofanya ni kwa ajili ya kujifurahisha. Ni siku chache tu tangu washambulie tovuti ya games [DDoS].

Tovuti ya CIA imekuwa haipatikani na lulz wametanga kuhusika na tukio hilo. Kumekuwa na vijisemo pembeni kwamba wanlenga mashirika madogo madogo, lakini baada ya hapa nadhani ujumbe utakuwa umefika.

READ MORE » News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Steve Jobs akiizindua iCloud

READ MORE » Steve Jobs akiizindua iCloud

iCloud Communications kuishitaki Apple


iCloud ni kampuni VoIP service provider ambao wanaishitaki apple kuharibu ala yao ya kibiashara. Huduma mpya ya Apple ya kuhifadhi muziki kwenye kiwingu imeleta athari kubwa kwenye soko. Vita hivyo vimeanza na apple inabidi ajiandae kupambana navyo wameeleza kwenye tovuti yao [iCloud communications].
READ MORE » iCloud Communications kuishitaki Apple

Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Tovuti ya Tanzania (tanzania.go.tz) ni katika miongoni mwa tovuti zilizokosa mvuto Tanzania. Tovuti imekosa uiano wa rangi katika kurasa zake. Vile vile imejaa viunganishi ambavyo havifanyi kazi, kama hii ambayo imeekwa kwenye kitufe cha 'back' http://www.tanzania.go.tz/index2.html ni kwasababu inajaribu kwenda kwenye amabyo imebadilishwa jina nakuwa 'index2E.html'.
Tovuti ya Zanzibar ni moja ya tovuti ambazo zipo katika hatari ya kuangushwa wakati wowote. Tovuti inakurasa za PHP ambazo zimejaa hitilafu za PHP (php bugs). Kurasa hizo zinaweza tendwa kirahisi, kwasababu zinaonyesha majina ya mafile. Kwa kifupi unaweza kuhack kirahisi.


Na mtu akipata hivyo kinachofata ni kuwa hacked. Kama ifuatavyo:


Ni ombi letu [tungule.com], tovuti ya serikali ya Zanzibar ifungwe iliirikebishwe kabla haijavamiwa. Na ile ya Tanzania, irekebishwe ili iwe na manufaa na iwe ya kutumika.
READ MORE » Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Samsung 5 series wa kwanza Chrome OS [Chromebook]

Samsung 5 series ndio wa kwanza kuzalisha 'Chromebooks'. Ni Laptops (bado tunatafuta tafsir yake,btty), ambazo zinatumia cloud-based Operating system. Laptops hizo zitakuwa zinatumia sekunde chache kuboot, na kuzimika mara moja. Software zote zitakuwa zinapatikana katika tavuti (web), tatizo la kuinstall software na kuifanya kompyuta kuwa slow linaondoka



Hata hivyo Chrome OS inahitaji upatikanji wa uhakika wa intaneti. Kwa Tanzania kwa watu wengi internet ni maofisini na wachache inapatikana nyumbani. Vilevile, inahitaji internet ambayo ni inspidi ya kutosha. Jee Watanzania wangapi watakuwa tiyari kuacha kutimia OS za kawaida na kutumia Chrome. Jee ukienda kwenye ambayo internet haipatikani kabisa?
READ MORE » Samsung 5 series wa kwanza Chrome OS [Chromebook]

Lulz hacks again! this time is a porn site

Kikundi cha mahacker wanaojiita LulzSecurity kimehack tovuti ya ngono na kuziachia email za watumiaji wake mtandaoni. Hio imepelekea watu kujaribu email za watumiaji hao Facebook, hali iliopelekea facebook kuziblock email zote kwenye listi ili watu wasizijaribu email hizo. Ni fundisho kwa wale wanaotumia password moja kwa 'account' zote!



Kikundi hichi kimekuwa kikihack kwa ajili starehe na sio kwa ajili ya pesa. Kama neno lenyewe linvyojieleza,'lulz', ambayo inamanisha wapo kwa ajili ya kujifurahisha.
READ MORE » Lulz hacks again! this time is a porn site

Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

Facebook sasa imeeka teknolojia ya kutambua sura za watumiaji katika picha. Hii itarahisisha kazi ya 'tag' watu katika picha na pia itaimarisha facebook katika swala zima la 'kushare' picha. Facebook ni mtandao unaongoza katika upande wa 'kushare' picha na hivi karibuni imepata hati ya kumiliki 'tagging system' inaotumika katika kushare picha.

Hata hivyo, baado kuna maswali  ya kujiuliza kama swala zima la 'privacy'. Jee teknolojia hii itakuwa na athari gani kwa watumiaji, na vipi itapokelewa. Lakini swali la kujiuliza, maoni yako wewe binafsi, unalichukuliaje swala zima la teknolojia hio.
READ MORE » Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

Playstation Vita official trailer!

 
READ MORE » Playstation Vita official trailer!

Jifundishe kupiga gita leo!





Ingia kwenye mtandao wa google.com na uchezee gita la bandia.
READ MORE » Jifundishe kupiga gita leo!

UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Baada ya matukio kusini mwa Afrika na Mashiriki ya kati, upatikanaji wa internet ni moja mwa haki za binaadamu kwa sasa. Internet imekuwa ni moja mwa kitu muhimu katika maisha ya watu kila siku. Mitandao kama kama Facebook na youtube imedhihirisha hilo kwa kuwa na watumiaji wengi wanaofikia mamilioni.

Hii itatoa changamoto kwa nchi kama ya Tanzania kuboresha huduma ya internet ambayo upatikanaji wake ni wa ghali sana. Ikiwa ni miaka michache tangu tujiunge na mkonga, bado marekebisho yanahitajika katika ugawaji wa huduma hio.
READ MORE » UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Citibank hacked!

Kwa mujibu wa Reuters kundi la mahcker zimeingilia Citigroup servers na kuiba data za wateja zaidai ya 200,000. Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la mahacker kuvamia system za watu na kuiba data. Hata hivyo haijulikani kama hawa waliohack Citibank ndo wale waliohack Sony, ambao wanajiita LulzSec.

READ MORE » Citibank hacked!

From our Authors: Cloud Computing in Tanzania Healthcare

Information sharing in healthcare systems is one among the major issues which needs to be given a reasonable attention. To overcome the problem in many medical institutions opted for e-healthcare system. E-healthcare is becoming one among the vital topics in healthcare organizations (Dwivedi et al. 2002). Healthcare information systems face difficulties in implementing and maintaining these computing systems. This section of the proposal will review literature which addresses the whole information sharing in health system topic. First, this section will discuss on the problems facing the institutions information sharing and major drawbacks of using the current system. Second, the solution to be proposed that is cloud computing will be discussed; defining cloud computing and discussing the benefits cloud computing provides. Third, the literature will examine how cloud computing would fit healthcare system, specifically in Tanzania. Lastly, challenges and problems which are potentially to be faced will be highlighted.

Due to huge amount of data,  hospitals face a lot of problems in sharing and storing data (Omary et al. 2009; Xinlei and Wang 2010). The amount of data to be processed and shared is so large and has made the whole process of storage a very laborious work.  In Tanzania data is taken manually and stored using the traditional hard paper files. This is very expensive and time consuming work (Omary et al. 2009). According to Omary et al. (2009) the major problems using the traditional system it leads to data duplication, incomplete and irrelevant information. To overcome the problem Omary et al. (2009) suggest e-healthcare should be implemented in Tanzania. But then there rise another issue of installation and maintenance of the systems. Installation process involves cabling and purchase and installation of necessary hardware and software. In fact, the medical institutions have to invest money and manpower to implement e-healthcare (Rolim et al., 2010). Martinez et al. (2005) claim that the distance between the rural areas and the urban is huge in developing countries which make data sharing more difficult. There arises a problem “to see a doctor is difficult, to see a doctor is expensive”. Developing countries like Tanzania needs cloud computing to overcome the distance, have cost-effective healthcare and to have a proper data management system.

The proposed solution of the problems mentioned above is cloud computing. By definition cloud computing is the means though which computer infrastructure and capabilities are provided regardless of time and location (Wang and Tan, 2010). According to Wang and Tan (2010) all products provided by the cloud is viewed as a service. From the definition, cloud computing provides processing, distribution and storage services. Therefore Hospitals and medical institutions will not be forced in acquiring unnecessary hardware and software (Wang and Tan, 2010). Wei and Blake (2010) add that the institutions would pay for what they use, that is in the mode of “pay as you go”.  The benefits of implementing cloud computing is that maintenance is easy, user only has to connect PC to the internet (Rolim et al., 2010). From the above we learn that cloud computing offers a very ideal solution for computing in Tanzania; it overcomes cost, availability and technical issues. The question to be asked, how cloud computing can solve the problem “seeing a doctor is difficult, seeing a doctor is expensive” in Tanzania healthcare system?

Bonacina et al. (2007) propose a system which uses a web-based platform which keeps medical information of a family. The proposed system may resemble cloud computing but it is not pure implementation because first the system is not connected to medical center system. That is it is a standalone application. Hence the system architecture does not comply with the definition of accessing the capabilities and infrastructure of computers whenever and wherever. Another system (Diag. 1) which uses censors to monitor patients’ heart rate and upload the data to the hospital cloud by Rolim et al. (2010). But then the acquiring of censors would cost more money and the aim is to minimize cost as possible. However, seemingly if we minus the censor part of the system and make little adjustments, the later proposed system looks the suitable cloud computing system to be implemented in Tanzania.


Diag.1: One of the implementations of cloud computing in Healthcare institutions
(Source: Rolim et al. 2010)

The above system is one among possible implementations of cloud computing systems in healthcare systems. The Rolim et al. (2010) proposed system will overcome the distance issue and facilitate telemedicine. Telemedicine is defined by Rolim and colleagues as providing treatment remotely. Thus medical clinics situated in rural can access and distribute medical information to regional and national hospitals. According to them this will help small rural hospitals to manage drug supply, financial management and even provide collaborative medical care. Furthermore, in general taking from the system, cloud computing will help mobilize healthcare (Bonacina et al., 2007). Wan and Tan (2010) add that cloud computing provides cost effective healthcare and provides a suitable base for medical information sharing. Therefore from the literature reviewed, it seems like cloud is prime candidate as a computing method to implement in Tanzania healthcare. It overcomes cost, distance, technical know-how and moreover it facilitates collaborative medicine.

On the other there are some challenges and security risk concerning implementation of computing. Omary et al. (2009) are concerned with lack unique identifier, lack of funds and internet availability. Currently, Tanzania is connected to optic fiber cable passing from South Africa to India and then connecting to Europe. Therefore, in Tanzania internet and bandwidth is no longer an issue. In addition to that there are other concerns like resistance to attacks and protection from SQL-injections (Wei and Blake 2010). These issues can be overcome with encryption and proper programming. The biggest challenge seems to be the popularization of cloud computing in Tanzania. Seemingly, cloud computing is a very new concept in Tanzania.

In conclusion, from literature review cloud computing would be a very suitable implementation in e-healthcare of Tanzania. Tanzania as developing needs a very cost-effective system and less laborious to reduce cost on staff. The literature has highlighted on challenges and risk which some of them are already eradicated or could be solved with available methods. Cloud computing is a new topic in Tanzania, but from the literature reviewed it is a topic which worth a study. No errors allowed in medical information and cloud computing is tool to ensure that.

Reference:
(2005). Analysis of information and communication needs in rural primary health care in developing countries. Information Technology in Biomedicine, IEEE Transactions on, 9 (1), 66.
BONACINA, Stefano, et al. (2007). A Web-Based System for Family Health Record. In: Engineering in Medicine and Biology Society, 2007. EMBS 2007. 29th Annual International Conference of the IEEE , Lyon, 22-26 August 2007. Milan, Bioengineering Department, Politecnico di Milano, Milan, I-20133 Italy. phone, p.3652.
DWIVEDI, A., et al. (2002). Workflow management systems: the healthcare technology of the future? In: Engineering in Medicine and Biology Society, 2001. Proceedings of the 23rd Annual International Conference of the IEEE , u.k, 2001. u.k, Sch. of Math. & Inf. Sci., Coventry Univ., UK, p.4.
GROBAUER, Bernd, WALLOSCHEK, Tobias and STOCKER, Elmar (2011). Understanding Cloud Computing Vulnerabilities. Security & Privacy, IEEE , 9 (2), 50.
OMARY, Z., et al. (2009). Challenges to E-healthcare adoption in developing countries: A case study of Tanzania. In: Networked Digital Technologies, 2009. NDT '09. First International Conference on , 28-31 July 2009. Ostrava , Dublin Inst. of Technol., p.201.
ROLIM, C.O., et al. (2010). A Cloud Computing Solution for Patient's Data Collection in Health Care Institutions. In: eHealth, Telemedicine, and Social Medicine, 2010. ETELEMED '10. Second International Conference on, St. Maarten, 10-16 Feb. 2010. Florianopolis, Network & Manage. Lab.-LRG, Fed. Univ. of Santa Catarina, p.95.
WANG, Xinlei and TAN, Yubo (2010). Application of cloud computing in the health information system. In: Computer Application and System Modeling (ICCASM), 2010 International Conference on , Taiyuan, 22-24 October 2010. , V1-179.
WEI, Yi and BLAKE, M.B. (2010). Service-Oriented Computing and Cloud Computing: Challenges and Opportunities. Internet Computing, IEEE , 14 (6), 72.
READ MORE » From our Authors: Cloud Computing in Tanzania Healthcare

Fedora 15 imeachiwa..

Kama ni mtumiaji wa Fedora basi ujue ya kwamba Fedora 15 imeshatoka, na inapatikana katikwa website ya fedora. Fedora 15 imedhatiti katika swala zima la muenekano na mvuto ikiwa ni katika mchuano na washindani wao Ubuntu.


READ MORE » Fedora 15 imeachiwa..

Sony Hacked again!.. and again..

Katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na mchezo ama vita kati ya Sony na mahacker. Kundi la mahacker wanojiita LulzSec wamehack Sony na kuchukua karibia data za watu milioni. Uchakachuaji huo umefanyika kwenye web za Sony, ikiwemo Sony pictures na Sony music wakati kabla ya hapo ulifanyika kwa database ya watumiaji wa PlayStation.

READ MORE » Sony Hacked again!.. and again..

CIO's ready to embrace Cloud Computing

READ MORE » CIO's ready to embrace Cloud Computing

Kazini hapo, Google!

READ MORE » Kazini hapo, Google!

Jifunze CSS kwa wepesi

Habari,
Naam, video mpya za CSS zimetoka. Na hii ndo video ya utanguliza katika mlolongo mzima wa video hizi.
READ MORE » Jifunze CSS kwa wepesi

We got this on youtube!

READ MORE » We got this on youtube!

Mac vs Windows vs Linux vs ChromeOS

READ MORE » Mac vs Windows vs Linux vs ChromeOS

Free Software Movement

READ MORE » Free Software Movement

HTML5 and CSS3

Kama umefuatilia darasa la HTML, jua kwamba HTML5 imetoka. Inakuwa na 'tags' mpya pamoja na uwezo mpya. Kuwa na video tag, pamoja na audio tag. Vile vile CSS3 imeongeza vitu vipya na pia web browser zinasupport 'features' nyingi zake, ikiwemo kona zilopindwa(rounded corners) na kuzungusha boxi.

READ MORE » HTML5 and CSS3

Video ya mwisho ya HTML

Video ya mwisho kuhusu HTML tiyari imeshatoka. Kama ilivyoahidiwa kwamba video zengine zitakuwa ni za CSS.

READ MORE » Video ya mwisho ya HTML

"What about privacy, Sir?", we ask.

You do not store your data on your computer. That means you dont own your own data, 'mmmhh'.. Something to think about.

READ MORE » "What about privacy, Sir?", we ask.

NEW CSS videos coming soon!

New CSS video tutorials are going to be posted soon on tungule blog. CSS, web pages stylings is the next topic. These tutorials are going to be in Kiswahili as usual. tungule targets the Tanzania people who are interested in Web development and design.

As noticed, the HTML video series are almost done. Thus, new CSS series is next. tungule is still in its testing stage and still researching, so expect more cool stuff to come.
READ MORE » NEW CSS videos coming soon!

Jifunze HTML kwa wepesi: Jedwali

Naam, tunaendelea na darasa la HTML na hii ni video ya kukufundisha jinsi ya kuchora jedwali(Table). Usisite kucomment na kutunduandikia email.

READ MORE » Jifunze HTML kwa wepesi: Jedwali

Jifunze HTML kwa wepesi: Links

Leo jifunze kutengeza tovuti nzima kwa kuunganisha kurasa za HTML. Ndani ya somo la leo utajifunza kuhifadhi (kusave) HTML document. Na vile vile jinsi ya kuziunganisha pamoja, yaani LINKS......

Kumbuka lins unatumia <a href="kurasa_unayoeleakea.html"> Usisahau kufunga </a>
READ MORE » Jifunze HTML kwa wepesi: Links

Some more tutorials

Pseudo code...











READ MORE » Some more tutorials

Time travel: Fantasy?

Check out some videos on time travel theories.













 
READ MORE » Time travel: Fantasy?

Browsers speed!

Source: Digital Trends
Firefox 4 Internet Explorer 9 Chrome 10 Opera 11
Yahoo

3.4 seconds 3.36 seconds 2.83 seconds 1.83 seconds
Facebook

2.86 1.4 3.9 2.03
Gmail

4.13 3.66 4.13 3.36
Digital Trends
3.53 3.9 3.53 2.83
READ MORE » Browsers speed!

Do you remember Minority report?

M.I.T lab, on the minority report-look interface. We all agree that Tom Cruise looked cool doing it. Watch this video, it is even cooler:





READ MORE » Do you remember Minority report?

tungule the Next big thing!

Whether the founders are getting to ambitious, but they are promising the next big thing to Tanzanians. The intention is clear, simplifying everything plus reducing cost. Some projects are currently in development which potentially could be the most used applications in Tanzania; from educational applications to business and even entertainment applications.

The founders claim that they are in the early stages of the development. tl

 
READ MORE » tungule the Next big thing!

Understanding MVC

Get a grasp of MVC architecture.





READ MORE » Understanding MVC

FireFox 4 is available!

With improved tab design, apps-tab firefox 4 has a very appealing user interface (Digital Trends). Though, it is not faster than Opera 11, but Mozilla claim firefox 4 to be 6 times faster than 3.6.

[caption id="attachment_172" align="aligncenter" width="490" caption="Firefox 4 theme windows"]ff4[/caption]

Digital Trends:
Firefox 4 is so nicely trimmed that there’s very little to dislike. It may not be the absolute fastest browser on the market, but with a wide variety of attractive additional features, intuitive controls and enough power and speed to help you plow through any task, it’s overall the most pleasurable browser to use.

For speed freaks: Yes, Chrome 10 still wins the race (as does Opera). Fortunately for Mozilla fans out there, the company says it plans to drastically increase its release schedule, and deliver three more major updates this year. If Mozilla can do that, then it has a shot at staying in the overall lead.

 

READ MORE » FireFox 4 is available!

tungule is still alive!!

Currently, we are facing some minor setbacks but we are very much alive. New things to come, so expect nothing else other than some new cool stuff.
READ MORE » tungule is still alive!!

Uwezekano:Nishati mbadala

‘Gongo’ ni aina ya pombe ambayo imepigwa marufuku nchini Tanzania. Kwa hakika, kuna madhara mengi yaliowahi tokea ambayo yamesababishwa na pombe hio. Kiutaalam, ‘gongo’ ni ‘Ethanol’. Ethanol imethibitisha kuwa ni nishati mbadala ambayo ni fanisi hasa kwa vyombo vya barabarani. Baadhi ya nchi zimekuwa zikitumia ‘ethanol’ hasa kwa usafiri wa umma. Sio tu ni nishati fanisi, bali pia inasifika kwa kutunza mazingira na kuwa madhara kidogo kwa hewa (“low carbon emmissions”).

Kutokana na maelezo hapo juu na kutokana na gharama za juu za usafiri nchini (angalia SUMATRA), ni wazi kwamba huu ni wakati wa kushirikiana na wapika gongo ili iwe inatumika kwa njia zinazofaa na kunafaisha. Wakina mama wanaopika gongo wakiwekewa ‘standards’ za kufuata na wakipewa ruzuku za kuwaezesha kufanya kazi, itasaidia kuzalishwa ‘ethanol’ nyingi. Ethanol ikipatikana nyingi na ya kutosha, nadhani ni wazi kwamba ni wakati wa kubadilika na kuanza ‘ethanol’ kwenye madaladala na mabasi ya miji badala ya kutumia petroli ambayo ni ghali na ambayo inamwaga uchafu mwingi kwenye hewa.

[caption id="attachment_163" align="aligncenter" width="500" caption="Ethanol Powered Bus (NCTX)"]eb[/caption]

Faida ni nyingi, sio tu kutunza mazingira bali tutakuwa mfano kwa mataifa mengine ya Afrika. Bei za usafiri wa mijini itashuka kupelekea kupungua kwa gharama ya maisha mijini. Pia, akina mama ambão walikuwa wakiwindwa na vyombo vya sheria kwakutengeza pombe hii haramu, watakuwa wameweza jipatia ajira ambayo itakuwa msaada tosha kwa wao na kwa nchi kwa ujumla.

Hata hivyo, kuacha kutumia petroli na kuanza kutumia ‘ethanol’ ni vigumu mno. Kwanza, wazo hili litarajie kupata kipangimizi kikubwa kutoka kwa wamiliki wa masheli amabao upunguzi wa bei za mafuta ni kikwazo kwa wao si kwambii mada husika. Vilevile kisiasa ni maamuzi magumu kufanya katika nchi kutokana na athari kwa baadhi ya wafanya biashara wakubwa nchini.

Kwa kumalizia, faida za ‘ethanol’ ni nyingi, na kwa kuzingatia hali ya sasa, ni wakati wa kuanza kufanya utafiti ili tujikomboe kama nchi. Japokuwa kutakuwa na vipangamizi katika kuezesha uhamiaji huo, lakini faida zake ni muhimu sana. Ikiwa kweli tunataka kuwapunguzi wananchi ugumu wa maisha, basi jee hatuoni kwamba tunahitaji kuangalia nishati hii mbadala?
READ MORE » Uwezekano:Nishati mbadala

Choosing your next Job!





READ MORE » Choosing your next Job!

Cloud Computing Examined





READ MORE » Cloud Computing Examined

Nice movie for office 2010 users!





READ MORE » Nice movie for office 2010 users!

When the trial expires!!

READ MORE » When the trial expires!!

Suluhisho hili hapa..

Ukiangalia video iliopita, nimeona suluhisho hapa!

[vimeo http://vimeo.com/12782147]
READ MORE » Suluhisho hili hapa..

Tell me this is not true!

Mungu tusaidie.

[vimeo http://vimeo.com/12771304]
READ MORE » Tell me this is not true!

I like this! It is all about commitment

Below are some benefits of Information Communication Technology revolution. It is a vision we should embrace too!





READ MORE » I like this! It is all about commitment

Kauli ya tungule: Ni msiba umetufika sote

Tungule inapenda kuwapa pole wahanga wote mabomu ya Gongo la Mboto. Nyakati kama hizi ni ngumu, hivyo tumuombe Mwenyezi Mungu atupe subira na uvumilivu. Mungu awaafu waliojeruhiwa wote, na awape moyo wa kusubiri ndugu waliofiwa.

Inasikitisha, inauma lakini ni wakati wakuungana pamoja kuwasaidia wahanga. Tuwachangieni kwa hali na mali.

Mungu Ibariki Tanzania, tubariki watoto wa Tanzania. Aamin!
READ MORE » Kauli ya tungule: Ni msiba umetufika sote

Teknolojia mpya ni ngumu bila umeme!

Tatizo la umeme ni kikwazo kwa watanzania hasa wanaotaka kubadilisha hali ya Teknolojia nchini. Nashindwa kuelewa, ni asilimia ngapi ya watanzania wanaishi bila ya umeme. Kilicho tokea Zanzibar ni aibu na tena jambo la kukatisha tamaa; mara mbili ndani ya miaka miwili. Au labda tujiulize kwa wale wanaopata umeme ni asilimia ngapi ya muda wa maisha yao wanakosa umeme? Uzalishaji wa umeme wa kutosha Tanzania ni muhimu kwa watu wake na kwa Taifa kwa ujumla.

Kwa kuongezea, ni kama uaji wa wafanya biashara ndogo ndogo. Sasa ndio wakati wa kulivalia njuga swala la umeme ili kukuza teknolojia na kukuza uekezaji. Wangapi wamekatisshwa tamaa kuwasilisha mawazo yao kisa sababu ya upatikanaji mdogo wa umeme. Pia, kazi ngapi zimeharibika baada ukatikaji wa ghafla wa umeme? Cha kushangaza nchi yetu inasifika kwa kuwa ya kijani, na huku hali ya nchi inalazimisha utumiaji wa majenereta yaanaochafua mazingira! Binafsi, sijwahi sikia nchi inaendelea kwa mgao wa umeme!

Kwa kumalizia, ni wazi kwamba uzalishaji wa umeme ni ishara tosha inayoashiria jinsi gani  nchi ipo makini katika kuhakikisha swala zima la maendeleo. Maendeleo bila umeme unaokidhi mahitaji na unaopatikana saa zote  ni ngumu. Wanasiasa wanajukumu, na jukumu lao kuhakisha wanasayansi wanaisaidia nchi yao na huu ndio wakati. Tunahitaji uzalishaji wa umeme na mgao sasa iwe basi.



[caption id="attachment_113" align="aligncenter" width="540" caption="Mh. William Mganga Ngeleja - World Economic Forum on Africa 2010"][/caption]

READ MORE » Teknolojia mpya ni ngumu bila umeme!

New website for tungule is under construction!

A new website for tungule is underconstruction. You can have a look now at:

<<----------- Click here to visit! ----------------->>

READ MORE » New website for tungule is under construction!

Jifunze HTML kwa wepesi

Darasa linaendelea:

 





READ MORE » Jifunze HTML kwa wepesi

How can you adapt to changes?

Thinking of changes and how tricky they could be sometimes, personally, I admire how the famous Bi Kidude copes with  the changes and how prepared she was for the future. She has been singing ever since, and still, till today you would single her out as one of the best. I have a fair knowledge about her history, but seeing her now, using a newly upgraded microphone is amazing, isn't it?

Now, how well can we all adapt with changes, I am not sure, put me, you to the test. Hence, it is something we should consider in what we do for living. How many employees have been laid off by their companies just because they could not handle the technological changes? Personally, I think, this Madam below, is a good lesson to learn from.

Bi Kidude singing

READ MORE » How can you adapt to changes?

Some other good stuff!





READ MORE » Some other good stuff!

This one is funny!





READ MORE » This one is funny!

Jifunze HTML kwa wepesi part 1

Nimeanza, na nimejaribu tafadhali naomba feedback zenu.







Ahsante
READ MORE » Jifunze HTML kwa wepesi part 1

Wavuti ya Wizara ya teknolojia

Hii ni wavuti rasmi ya Wizara:

http://www.mst.go.tz/

[caption id="attachment_83" align="alignnone" width="300" caption="Mh. Prof. Makame Mbarawa (Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia)"][/caption]
READ MORE » Wavuti ya Wizara ya teknolojia

Technology changes





READ MORE » Technology changes

Innovation, wanaonaje?





READ MORE » Innovation, wanaonaje?

I Robot???





READ MORE » I Robot???

Get on the 1st page of Google!





READ MORE » Get on the 1st page of Google!

Follow us on twitter

You can follow us on twitter,

@tungule

Unaweza tufuatilia twitter:

@tungule
READ MORE » Follow us on twitter

SCRUM: for Software Development





READ MORE » SCRUM: for Software Development

Ndio, Cloud computing





READ MORE » Ndio, Cloud computing

Cloud computing? Sijui Tafsiri yake





READ MORE » Cloud computing? Sijui Tafsiri yake

New Website plan for tungule

A planning phase of the new tungule website has commenced. The new website is intended to contain all important computer applications; from educational to financial applications in order to help Tanzanians to overcome their daily personal and business problems.
READ MORE » New Website plan for tungule

Are we still waiting?

One question, what are we waiting for?





READ MORE » Are we still waiting?

Future jobs: You and Your future

What do you think when you choose what to study?

Most people think and assume that the same industries we have today are going to exist 5 or 10 years later. But are you sure?

Did you know that ten most demanded jobs were not there 10 years ago?

Now, do you know what are going to be the 10 most hot careers 5 years later?

Now pause for a while, and think about the future. Because the decision you make now, affects your future!
READ MORE » Future jobs: You and Your future

How to a create simple PHP shopping cart :-)

Here are simple videos on how to build a simple PHP cart!

Part 1:







Part 2:







Part 3:







Part 4:







Part 5:







Part 6:





READ MORE » How to a create simple PHP shopping cart :-)

Are we ready for the future?

As Tanzanians, are we ready for the future? The future which offers nothing more than uncertainties. The following video will help us see, how we can at least prepare for the future.





READ MORE » Are we ready for the future?
 
© 2010 tungule | Blog Theme