Check out some videos on time travel theories.
READ MORE » Time travel: Fantasy?
Browsers speed!
Source: Digital Trends
READ MORE » Browsers speed!
Firefox 4 | Internet Explorer 9 | Chrome 10 | Opera 11 | |
Yahoo | 3.4 seconds | 3.36 seconds | 2.83 seconds | 1.83 seconds |
Facebook | 2.86 | 1.4 | 3.9 | 2.03 |
Gmail | 4.13 | 3.66 | 4.13 | 3.36 |
Digital Trends | 3.53 | 3.9 | 3.53 | 2.83 |
Do you remember Minority report?
M.I.T lab, on the minority report-look interface. We all agree that Tom Cruise looked cool doing it. Watch this video, it is even cooler:
READ MORE » Do you remember Minority report?
tungule the Next big thing!
Whether the founders are getting to ambitious, but they are promising the next big thing to Tanzanians. The intention is clear, simplifying everything plus reducing cost. Some projects are currently in development which potentially could be the most used applications in Tanzania; from educational applications to business and even entertainment applications.
The founders claim that they are in the early stages of the development.
READ MORE » tungule the Next big thing!
The founders claim that they are in the early stages of the development.
FireFox 4 is available!
With improved tab design, apps-tab firefox 4 has a very appealing user interface (Digital Trends). Though, it is not faster than Opera 11, but Mozilla claim firefox 4 to be 6 times faster than 3.6.
[caption id="attachment_172" align="aligncenter" width="490" caption="Firefox 4 theme windows"][/caption]
Digital Trends:
READ MORE » FireFox 4 is available!
[caption id="attachment_172" align="aligncenter" width="490" caption="Firefox 4 theme windows"][/caption]
Digital Trends:
Firefox 4 is so nicely trimmed that there’s very little to dislike. It may not be the absolute fastest browser on the market, but with a wide variety of attractive additional features, intuitive controls and enough power and speed to help you plow through any task, it’s overall the most pleasurable browser to use.
For speed freaks: Yes, Chrome 10 still wins the race (as does Opera). Fortunately for Mozilla fans out there, the company says it plans to drastically increase its release schedule, and deliver three more major updates this year. If Mozilla can do that, then it has a shot at staying in the overall lead.
tungule is still alive!!
Currently, we are facing some minor setbacks but we are very much alive. New things to come, so expect nothing else other than some new cool stuff.
READ MORE » tungule is still alive!!
Uwezekano:Nishati mbadala
‘Gongo’ ni aina ya pombe ambayo imepigwa marufuku nchini Tanzania. Kwa hakika, kuna madhara mengi yaliowahi tokea ambayo yamesababishwa na pombe hio. Kiutaalam, ‘gongo’ ni ‘Ethanol’. Ethanol imethibitisha kuwa ni nishati mbadala ambayo ni fanisi hasa kwa vyombo vya barabarani. Baadhi ya nchi zimekuwa zikitumia ‘ethanol’ hasa kwa usafiri wa umma. Sio tu ni nishati fanisi, bali pia inasifika kwa kutunza mazingira na kuwa madhara kidogo kwa hewa (“low carbon emmissions”).
Kutokana na maelezo hapo juu na kutokana na gharama za juu za usafiri nchini (angalia SUMATRA), ni wazi kwamba huu ni wakati wa kushirikiana na wapika gongo ili iwe inatumika kwa njia zinazofaa na kunafaisha. Wakina mama wanaopika gongo wakiwekewa ‘standards’ za kufuata na wakipewa ruzuku za kuwaezesha kufanya kazi, itasaidia kuzalishwa ‘ethanol’ nyingi. Ethanol ikipatikana nyingi na ya kutosha, nadhani ni wazi kwamba ni wakati wa kubadilika na kuanza ‘ethanol’ kwenye madaladala na mabasi ya miji badala ya kutumia petroli ambayo ni ghali na ambayo inamwaga uchafu mwingi kwenye hewa.
[caption id="attachment_163" align="aligncenter" width="500" caption="Ethanol Powered Bus (NCTX)"][/caption]
Faida ni nyingi, sio tu kutunza mazingira bali tutakuwa mfano kwa mataifa mengine ya Afrika. Bei za usafiri wa mijini itashuka kupelekea kupungua kwa gharama ya maisha mijini. Pia, akina mama ambão walikuwa wakiwindwa na vyombo vya sheria kwakutengeza pombe hii haramu, watakuwa wameweza jipatia ajira ambayo itakuwa msaada tosha kwa wao na kwa nchi kwa ujumla.
Hata hivyo, kuacha kutumia petroli na kuanza kutumia ‘ethanol’ ni vigumu mno. Kwanza, wazo hili litarajie kupata kipangimizi kikubwa kutoka kwa wamiliki wa masheli amabao upunguzi wa bei za mafuta ni kikwazo kwa wao si kwambii mada husika. Vilevile kisiasa ni maamuzi magumu kufanya katika nchi kutokana na athari kwa baadhi ya wafanya biashara wakubwa nchini.
Kwa kumalizia, faida za ‘ethanol’ ni nyingi, na kwa kuzingatia hali ya sasa, ni wakati wa kuanza kufanya utafiti ili tujikomboe kama nchi. Japokuwa kutakuwa na vipangamizi katika kuezesha uhamiaji huo, lakini faida zake ni muhimu sana. Ikiwa kweli tunataka kuwapunguzi wananchi ugumu wa maisha, basi jee hatuoni kwamba tunahitaji kuangalia nishati hii mbadala?
READ MORE » Uwezekano:Nishati mbadala
Kutokana na maelezo hapo juu na kutokana na gharama za juu za usafiri nchini (angalia SUMATRA), ni wazi kwamba huu ni wakati wa kushirikiana na wapika gongo ili iwe inatumika kwa njia zinazofaa na kunafaisha. Wakina mama wanaopika gongo wakiwekewa ‘standards’ za kufuata na wakipewa ruzuku za kuwaezesha kufanya kazi, itasaidia kuzalishwa ‘ethanol’ nyingi. Ethanol ikipatikana nyingi na ya kutosha, nadhani ni wazi kwamba ni wakati wa kubadilika na kuanza ‘ethanol’ kwenye madaladala na mabasi ya miji badala ya kutumia petroli ambayo ni ghali na ambayo inamwaga uchafu mwingi kwenye hewa.
[caption id="attachment_163" align="aligncenter" width="500" caption="Ethanol Powered Bus (NCTX)"][/caption]
Faida ni nyingi, sio tu kutunza mazingira bali tutakuwa mfano kwa mataifa mengine ya Afrika. Bei za usafiri wa mijini itashuka kupelekea kupungua kwa gharama ya maisha mijini. Pia, akina mama ambão walikuwa wakiwindwa na vyombo vya sheria kwakutengeza pombe hii haramu, watakuwa wameweza jipatia ajira ambayo itakuwa msaada tosha kwa wao na kwa nchi kwa ujumla.
Hata hivyo, kuacha kutumia petroli na kuanza kutumia ‘ethanol’ ni vigumu mno. Kwanza, wazo hili litarajie kupata kipangimizi kikubwa kutoka kwa wamiliki wa masheli amabao upunguzi wa bei za mafuta ni kikwazo kwa wao si kwambii mada husika. Vilevile kisiasa ni maamuzi magumu kufanya katika nchi kutokana na athari kwa baadhi ya wafanya biashara wakubwa nchini.
Kwa kumalizia, faida za ‘ethanol’ ni nyingi, na kwa kuzingatia hali ya sasa, ni wakati wa kuanza kufanya utafiti ili tujikomboe kama nchi. Japokuwa kutakuwa na vipangamizi katika kuezesha uhamiaji huo, lakini faida zake ni muhimu sana. Ikiwa kweli tunataka kuwapunguzi wananchi ugumu wa maisha, basi jee hatuoni kwamba tunahitaji kuangalia nishati hii mbadala?
Subscribe to:
Posts (Atom)