News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Ni kama mchezo unaondelea au vita, leo lulzSec wametangaza kuishambulia tovuti ya CIA, ya marekani. LulzSec wamesema hivyo kwenye account ya twitter....
READ MORE » News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Steve Jobs akiizindua iCloud

...
READ MORE » Steve Jobs akiizindua iCloud

iCloud Communications kuishitaki Apple

  iCloud ni kampuni VoIP service provider ambao wanaishitaki apple kuharibu ala yao ya kibiashara. Huduma mpya ya Apple ya kuhifadhi muziki kwenye...
READ MORE » iCloud Communications kuishitaki Apple

Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Tovuti ya Tanzania (tanzania.go.tz) ni katika miongoni mwa tovuti zilizokosa mvuto Tanzania. Tovuti imekosa uiano wa rangi katika kurasa zake. Vile vile...
READ MORE » Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Samsung 5 series wa kwanza Chrome OS [Chromebook]

Samsung 5 series ndio wa kwanza kuzalisha 'Chromebooks'. Ni Laptops (bado tunatafuta tafsir yake,btty), ambazo zinatumia cloud-based Operating system. Laptops hizo zitakuwa zinatumia sekunde chache kuboot,...
READ MORE » Samsung 5 series wa kwanza Chrome OS [Chromebook]

Lulz hacks again! this time is a porn site

Kikundi cha mahacker wanaojiita LulzSecurity kimehack tovuti ya ngono na kuziachia email za watumiaji wake mtandaoni. Hio imepelekea watu kujaribu email...
READ MORE » Lulz hacks again! this time is a porn site

Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

 Facebook sasa imeeka teknolojia ya kutambua sura za watumiaji katika picha. Hii itarahisisha kazi ya 'tag' watu katika picha na pia itaimarisha...
READ MORE » Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

Playstation Vita official trailer!

&nb...
READ MORE » Playstation Vita official trailer!

Jifundishe kupiga gita leo!

Ingia kwenye mtandao wa google.com na uchezee gita la band...
READ MORE » Jifundishe kupiga gita leo!

UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Baada ya matukio kusini mwa Afrika na Mashiriki ya kati, upatikanaji wa internet ni moja mwa haki za binaadamu kwa sasa. Internet imekuwa ni moja mwa...
READ MORE » UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Citibank hacked!

Kwa mujibu wa Reuters kundi la mahcker zimeingilia Citigroup servers na kuiba data za wateja zaidai ya 200,000. Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la mahacker...
READ MORE » Citibank hacked!

From our Authors: Cloud Computing in Tanzania Healthcare

Information sharing in healthcare systems is one among the major issues which needs to be given a reasonable attention. To overcome the problem in many...
READ MORE » From our Authors: Cloud Computing in Tanzania Healthcare

Fedora 15 imeachiwa..

Kama ni mtumiaji wa Fedora basi ujue ya kwamba Fedora 15 imeshatoka, na inapatikana katikwa website ya fedora. Fedora 15 imedhatiti katika swala zima...
READ MORE » Fedora 15 imeachiwa..

Sony Hacked again!.. and again..

Katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na mchezo ama vita kati ya Sony na mahacker. Kundi la mahacker wanojiita LulzSec wamehack Sony na kuchukua karibia...
READ MORE » Sony Hacked again!.. and again..
 
© 2010 tungule | Blog Theme