Lulz hacks again! this time is a porn site

Kikundi cha mahacker wanaojiita LulzSecurity kimehack tovuti ya ngono na kuziachia email za watumiaji wake mtandaoni. Hio imepelekea watu kujaribu email za watumiaji hao Facebook, hali iliopelekea facebook kuziblock email zote kwenye listi ili watu wasizijaribu email hizo. Ni fundisho kwa wale wanaotumia password moja kwa 'account' zote!



Kikundi hichi kimekuwa kikihack kwa ajili starehe na sio kwa ajili ya pesa. Kama neno lenyewe linvyojieleza,'lulz', ambayo inamanisha wapo kwa ajili ya kujifurahisha.

0 comments:

Post a Comment

 
© 2010 tungule | Blog Theme