News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Ni kama mchezo unaondelea au vita, leo lulzSec wametangaza kuishambulia tovuti ya CIA, ya marekani. LulzSec wamesema hivyo kwenye account ya twitter. Kama kawaida kila kitu wanachofanya ni kwa ajili ya kujifurahisha. Ni siku chache tu tangu washambulie tovuti ya games [DDoS].

Tovuti ya CIA imekuwa haipatikani na lulz wametanga kuhusika na tukio hilo. Kumekuwa na vijisemo pembeni kwamba wanlenga mashirika madogo madogo, lakini baada ya hapa nadhani ujumbe utakuwa umefika.

0 comments:

Post a Comment

 
© 2010 tungule | Blog Theme