Samsung 5 series wa kwanza Chrome OS [Chromebook]

Samsung 5 series ndio wa kwanza kuzalisha 'Chromebooks'. Ni Laptops (bado tunatafuta tafsir yake,btty), ambazo zinatumia cloud-based Operating system. Laptops hizo zitakuwa zinatumia sekunde chache kuboot, na kuzimika mara moja. Software zote zitakuwa zinapatikana katika tavuti (web), tatizo la kuinstall software na kuifanya kompyuta kuwa slow linaondoka



Hata hivyo Chrome OS inahitaji upatikanji wa uhakika wa intaneti. Kwa Tanzania kwa watu wengi internet ni maofisini na wachache inapatikana nyumbani. Vilevile, inahitaji internet ambayo ni inspidi ya kutosha. Jee Watanzania wangapi watakuwa tiyari kuacha kutimia OS za kawaida na kutumia Chrome. Jee ukienda kwenye ambayo internet haipatikani kabisa?

0 comments:

Post a Comment

 
© 2010 tungule | Blog Theme