UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Baada ya matukio kusini mwa Afrika na Mashiriki ya kati, upatikanaji wa internet ni moja mwa haki za binaadamu kwa sasa. Internet imekuwa ni moja mwa kitu muhimu katika maisha ya watu kila siku. Mitandao kama kama Facebook na youtube imedhihirisha hilo kwa kuwa na watumiaji wengi wanaofikia mamilioni.

Hii itatoa changamoto kwa nchi kama ya Tanzania kuboresha huduma ya internet ambayo upatikanaji wake ni wa ghali sana. Ikiwa ni miaka michache tangu tujiunge na mkonga, bado marekebisho yanahitajika katika ugawaji wa huduma hio.

0 comments:

Post a Comment

 
© 2010 tungule | Blog Theme