Showing posts with label Habari zetu. Show all posts
Showing posts with label Habari zetu. Show all posts

News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

Ni kama mchezo unaondelea au vita, leo lulzSec wametangaza kuishambulia tovuti ya CIA, ya marekani. LulzSec wamesema hivyo kwenye account ya twitter. Kama kawaida kila kitu wanachofanya ni kwa ajili ya kujifurahisha. Ni siku chache tu tangu washambulie tovuti ya games [DDoS].

Tovuti ya CIA imekuwa haipatikani na lulz wametanga kuhusika na tukio hilo. Kumekuwa na vijisemo pembeni kwamba wanlenga mashirika madogo madogo, lakini baada ya hapa nadhani ujumbe utakuwa umefika.

READ MORE » News alert: CIA.gov DDoSed by LulzSec!

iCloud Communications kuishitaki Apple


iCloud ni kampuni VoIP service provider ambao wanaishitaki apple kuharibu ala yao ya kibiashara. Huduma mpya ya Apple ya kuhifadhi muziki kwenye kiwingu imeleta athari kubwa kwenye soko. Vita hivyo vimeanza na apple inabidi ajiandae kupambana navyo wameeleza kwenye tovuti yao [iCloud communications].
READ MORE » iCloud Communications kuishitaki Apple

Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Tovuti ya Tanzania (tanzania.go.tz) ni katika miongoni mwa tovuti zilizokosa mvuto Tanzania. Tovuti imekosa uiano wa rangi katika kurasa zake. Vile vile imejaa viunganishi ambavyo havifanyi kazi, kama hii ambayo imeekwa kwenye kitufe cha 'back' http://www.tanzania.go.tz/index2.html ni kwasababu inajaribu kwenda kwenye amabyo imebadilishwa jina nakuwa 'index2E.html'.
Tovuti ya Zanzibar ni moja ya tovuti ambazo zipo katika hatari ya kuangushwa wakati wowote. Tovuti inakurasa za PHP ambazo zimejaa hitilafu za PHP (php bugs). Kurasa hizo zinaweza tendwa kirahisi, kwasababu zinaonyesha majina ya mafile. Kwa kifupi unaweza kuhack kirahisi.


Na mtu akipata hivyo kinachofata ni kuwa hacked. Kama ifuatavyo:


Ni ombi letu [tungule.com], tovuti ya serikali ya Zanzibar ifungwe iliirikebishwe kabla haijavamiwa. Na ile ya Tanzania, irekebishwe ili iwe na manufaa na iwe ya kutumika.
READ MORE » Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Lulz hacks again! this time is a porn site

Kikundi cha mahacker wanaojiita LulzSecurity kimehack tovuti ya ngono na kuziachia email za watumiaji wake mtandaoni. Hio imepelekea watu kujaribu email za watumiaji hao Facebook, hali iliopelekea facebook kuziblock email zote kwenye listi ili watu wasizijaribu email hizo. Ni fundisho kwa wale wanaotumia password moja kwa 'account' zote!



Kikundi hichi kimekuwa kikihack kwa ajili starehe na sio kwa ajili ya pesa. Kama neno lenyewe linvyojieleza,'lulz', ambayo inamanisha wapo kwa ajili ya kujifurahisha.
READ MORE » Lulz hacks again! this time is a porn site

Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

Facebook sasa imeeka teknolojia ya kutambua sura za watumiaji katika picha. Hii itarahisisha kazi ya 'tag' watu katika picha na pia itaimarisha facebook katika swala zima la 'kushare' picha. Facebook ni mtandao unaongoza katika upande wa 'kushare' picha na hivi karibuni imepata hati ya kumiliki 'tagging system' inaotumika katika kushare picha.

Hata hivyo, baado kuna maswali  ya kujiuliza kama swala zima la 'privacy'. Jee teknolojia hii itakuwa na athari gani kwa watumiaji, na vipi itapokelewa. Lakini swali la kujiuliza, maoni yako wewe binafsi, unalichukuliaje swala zima la teknolojia hio.
READ MORE » Unalipi la Kusema: Facebook face recognition!

UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Baada ya matukio kusini mwa Afrika na Mashiriki ya kati, upatikanaji wa internet ni moja mwa haki za binaadamu kwa sasa. Internet imekuwa ni moja mwa kitu muhimu katika maisha ya watu kila siku. Mitandao kama kama Facebook na youtube imedhihirisha hilo kwa kuwa na watumiaji wengi wanaofikia mamilioni.

Hii itatoa changamoto kwa nchi kama ya Tanzania kuboresha huduma ya internet ambayo upatikanaji wake ni wa ghali sana. Ikiwa ni miaka michache tangu tujiunge na mkonga, bado marekebisho yanahitajika katika ugawaji wa huduma hio.
READ MORE » UN yasema Internet ni haki ya binaadamu

Citibank hacked!

Kwa mujibu wa Reuters kundi la mahcker zimeingilia Citigroup servers na kuiba data za wateja zaidai ya 200,000. Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la mahacker kuvamia system za watu na kuiba data. Hata hivyo haijulikani kama hawa waliohack Citibank ndo wale waliohack Sony, ambao wanajiita LulzSec.

READ MORE » Citibank hacked!

Sony Hacked again!.. and again..

Katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na mchezo ama vita kati ya Sony na mahacker. Kundi la mahacker wanojiita LulzSec wamehack Sony na kuchukua karibia data za watu milioni. Uchakachuaji huo umefanyika kwenye web za Sony, ikiwemo Sony pictures na Sony music wakati kabla ya hapo ulifanyika kwa database ya watumiaji wa PlayStation.

READ MORE » Sony Hacked again!.. and again..

NEW CSS videos coming soon!

New CSS video tutorials are going to be posted soon on tungule blog. CSS, web pages stylings is the next topic. These tutorials are going to be in Kiswahili as usual. tungule targets the Tanzania people who are interested in Web development and design.

As noticed, the HTML video series are almost done. Thus, new CSS series is next. tungule is still in its testing stage and still researching, so expect more cool stuff to come.
READ MORE » NEW CSS videos coming soon!

tungule the Next big thing!

Whether the founders are getting to ambitious, but they are promising the next big thing to Tanzanians. The intention is clear, simplifying everything plus reducing cost. Some projects are currently in development which potentially could be the most used applications in Tanzania; from educational applications to business and even entertainment applications.

The founders claim that they are in the early stages of the development. tl

 
READ MORE » tungule the Next big thing!

FireFox 4 is available!

With improved tab design, apps-tab firefox 4 has a very appealing user interface (Digital Trends). Though, it is not faster than Opera 11, but Mozilla claim firefox 4 to be 6 times faster than 3.6.

[caption id="attachment_172" align="aligncenter" width="490" caption="Firefox 4 theme windows"]ff4[/caption]

Digital Trends:
Firefox 4 is so nicely trimmed that there’s very little to dislike. It may not be the absolute fastest browser on the market, but with a wide variety of attractive additional features, intuitive controls and enough power and speed to help you plow through any task, it’s overall the most pleasurable browser to use.

For speed freaks: Yes, Chrome 10 still wins the race (as does Opera). Fortunately for Mozilla fans out there, the company says it plans to drastically increase its release schedule, and deliver three more major updates this year. If Mozilla can do that, then it has a shot at staying in the overall lead.

 

READ MORE » FireFox 4 is available!

tungule is still alive!!

Currently, we are facing some minor setbacks but we are very much alive. New things to come, so expect nothing else other than some new cool stuff.
READ MORE » tungule is still alive!!

When the trial expires!!

READ MORE » When the trial expires!!

Kauli ya tungule: Ni msiba umetufika sote

Tungule inapenda kuwapa pole wahanga wote mabomu ya Gongo la Mboto. Nyakati kama hizi ni ngumu, hivyo tumuombe Mwenyezi Mungu atupe subira na uvumilivu. Mungu awaafu waliojeruhiwa wote, na awape moyo wa kusubiri ndugu waliofiwa.

Inasikitisha, inauma lakini ni wakati wakuungana pamoja kuwasaidia wahanga. Tuwachangieni kwa hali na mali.

Mungu Ibariki Tanzania, tubariki watoto wa Tanzania. Aamin!
READ MORE » Kauli ya tungule: Ni msiba umetufika sote

Wavuti ya Wizara ya teknolojia

Hii ni wavuti rasmi ya Wizara:

http://www.mst.go.tz/

[caption id="attachment_83" align="alignnone" width="300" caption="Mh. Prof. Makame Mbarawa (Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia)"][/caption]
READ MORE » Wavuti ya Wizara ya teknolojia

Follow us on twitter

You can follow us on twitter,

@tungule

Unaweza tufuatilia twitter:

@tungule
READ MORE » Follow us on twitter

New Website plan for tungule

A planning phase of the new tungule website has commenced. The new website is intended to contain all important computer applications; from educational to financial applications in order to help Tanzanians to overcome their daily personal and business problems.
READ MORE » New Website plan for tungule
 
© 2010 tungule | Blog Theme