Tovuti za Serikali [tanzania.go.tz/zanzibar.go.tz] zaongoza njia tovuti mbovu Tanzania

Tovuti ya Tanzania (tanzania.go.tz) ni katika miongoni mwa tovuti zilizokosa mvuto Tanzania. Tovuti imekosa uiano wa rangi katika kurasa zake. Vile vile imejaa viunganishi ambavyo havifanyi kazi, kama hii ambayo imeekwa kwenye kitufe cha 'back' http://www.tanzania.go.tz/index2.html ni kwasababu inajaribu kwenda kwenye amabyo imebadilishwa jina nakuwa 'index2E.html'.
Tovuti ya Zanzibar ni moja ya tovuti ambazo zipo katika hatari ya kuangushwa wakati wowote. Tovuti inakurasa za PHP ambazo zimejaa hitilafu za PHP (php bugs). Kurasa hizo zinaweza tendwa kirahisi, kwasababu zinaonyesha majina ya mafile. Kwa kifupi unaweza kuhack kirahisi.


Na mtu akipata hivyo kinachofata ni kuwa hacked. Kama ifuatavyo:


Ni ombi letu [tungule.com], tovuti ya serikali ya Zanzibar ifungwe iliirikebishwe kabla haijavamiwa. Na ile ya Tanzania, irekebishwe ili iwe na manufaa na iwe ya kutumika.

0 comments:

Post a Comment

 
© 2010 tungule | Blog Theme